Mkurugenzi wa Huduma za Upasuaji Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dkt. Rachel Mhaville akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Prof. Mohamed Janabi, kuhusu mafanikio na mwelekeo wa Taasisi hiyo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita tarehe 6 Machi, 2025, katika ofisi za Idara ya Habari - MAELEZO, Dodoma.
Read More