Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimaina na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini, Mheshimiwa Christine Grau katika mazungumzo yaliyofanyika kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam, Februari 18, 2025. Kushoto ni Mkuu wa Idara ya Ushirikiano kutoka Umoja wa Ulaya ( Head of Cooperation from the EU Delegation), Marc Stalmsns.
Read More