Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Dkt. Irene Isaka akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa Mfuko huo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 10, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari - MAELEZO, jijini Dodoma.
Read More