Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mhe. Lela Muhamed Mussa (kushoto) ikiwa ni ishara ya kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Skuli ya Msingi ya Abeid Amani Karume Mwera Wilaya ya Kati Unguja, ufunguzi huo ulifanyika leo 12-3-2025, Kushoto kwa Rais ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
Read More