Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akiangalia bidhaa mbalimbali leo Machi 16, 2025 katika bandari kavu ya Kwala mkoani Pwani wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari uliojikita kueleza miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita.
Read More