Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bw. Bakari Machumu amekutana na kuzungumza na Waandishi wa Habari kuhusu ziara ya kikazi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika mkutano uliofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo Februari 16, 2026
Read More