Rais Dkt. Samia Aelekeza Milioni 960 za Maadhimisho ya Uhuru Kujenga Mabweni ya Wenye Mahitaji Maalum
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. George Simbachawene akitoa taarifa kwa niaba ya Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara leo jijini Dodoma.
Na Jacqui...
Dec 05, 2022