Wakati wa Kunufaika na Sanaa ni Sasa- Dkt. Mapana
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa BASATA, Dkt. Kedmon Mapana akizungumza wakati akifungua kwa niaba ya Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Mohamed Mchengerwa Tamasha la Utoaji Tuzo la Uni Awards msimu wa nne 2022 leo Desemba 4, 2022...
Dec 05, 2022