Ofisi ya Waziri Mkuu Yapokea Maoni Kuhusu Rasimu ya Sera ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii ya Mwaka 2022
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu akitoa maelezo ya awali kwa wadau juu ya umuhimu na faida za kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii ya Mwaka 2022 wakati wa kikao kazi kilicho...
Dec 06, 2022