Majaliwa Aweka Jiwe la Msingi Ujenzi Shule ya Sekondari Maji Moto
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Shule ya Sekondari Majimoto katika Halmashauri ya Mpimbwe akiwa katika ziara ya kikazi ya Mkoa wa Katavi Disemba 14, 2022. Kulia ni Mbunge wa Kavuu na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Geofrey Pinda, k...
Dec 14, 2022