Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Hamisi Kamando, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu miradi ya maendeleo na fursa kwa vijana, leo Machi 16, 2026, katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
Read More