Tanzania imeandika ukurasa mpya katika sekta ya bandari baada ya kuzindua mradi mkubwa wa ujenzi wa matenki ya kisasa ya kupokea na kuhifadhi mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam, mradi unaotajwa kuwa kichocheo kipya cha ukuaji wa uchumi wa taifa.Akizindua ujenzi wa mradi huo leo Machi 3, 2026 Jijini Dar es salaam katika hafla iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali na sekta binafsi, Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hatua hiyo ni sehemu ya mkakati wa kuifanya Tanzania kuwa k...
Read More