Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa leo Januari 29, 2024 ameongoza kikao cha pamoja na Makatibu Wakuu wa Wizara tano cha kujadili mkakati shirikishi wa Kulinda, Kuhifadhi na Kuendeleza Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika uliopo nchini.
Read More