Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kushoto) akitoa nasaha zake kwa wananchi wakati alipotembelea Vyanzo vya Maji Safi na Salama vya Welezo akiwa katika ziara ya Mkoa wa Mjini Magharibi iliyoanza leo kwa kutembelea Miradi mbalimbali ya Maendeleo.[Picha na Ikulu - Zanzibar.]