TFDA Yafungia Machinjio 26 Dar
Na: Frank Mvungi
Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imefunga jumla ya machinjio 26 kati ya 55 yaliyokaguliwa katika Mkoa wa Dar es Saalam kufuatia ukaguzi uliofanywa kati ya mei 2 hadi 12,2017 katika Manispaa za Kinondoni,Ilala,Ubungo na T...
May 14, 2017