Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Kangi Lugola Afanya Ziara NEMC
Oct 19, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_20612" align="aligncenter" width="750"] Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) akiteta jambo na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) Dkt Vedast Makota wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme hii leo jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_20614" align="aligncenter" width="750"] Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) akipata maelekezo toka kwa mtaalamu wa maabara wa Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme hii leo jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_20617" align="aligncenter" width="750"] Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) akizungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Mazingira (hawapo pichani) wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme hii leo jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_20618" align="aligncenter" width="750"] Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) akizungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme hii leo jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_20619" align="aligncenter" width="750"] Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) Dkt Vedast Makota (kulia) akizungumza na watumishi baraza hilo wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) mapeme hii leo jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_20620" align="aligncenter" width="750"] Baadhi ya watumishi Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (hayupo pichani) wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme hii leo jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_20621" align="aligncenter" width="750"] Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Mazingira(NEMC) Dkt Vedast Makota (kulia) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) wakati alipokutana na Menejimenti ya baraza hilo akiwa katika ziara ya kikazi mapema hii leo jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_20622" align="aligncenter" width="750"] Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) akifafanua jambo kwa Menejimenti ya Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) wakati wa ziara yake ya kikazi katika baraza hilo mapema hii leo, kulia aliyesimama ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Mazingira Dkt Vedast Makota.(Picha na Eliphace Marwa – Maelezo)[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi