[caption id="attachment_13455" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa (Mb) akiwasilisha muswaada wa Sheria ya Reli ya mwaka 2017 Bungeni mjini Dodoma leo.
[/caption]
[caption id="attachment_13456" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Anjela Kairuki akiteta jambo na Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama mapema leo Bungeni mjini Dodoma.[/caption...
Read More