[caption id="attachment_29502" align="aligncenter" width="750"] Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi Tanzania (SHIMMUTA) uliofanyika Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) Machi 27, 2018 mjini Dodoma.[/caption]
Na: Lilian Lundo - MAELEZO, Dodoma.
Waajiri ambao ni wanachama wa SHIMMUTU wametakiwa kuhakikisha wanahamasisha wafanyakazi wao wanashiriki kikamilifu kwenye michezo mahala pa kazi i...
Read More