Kamishna wa Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Charles Mwamwaja (katikati) akizungumza na Kamishna Msaidizi wa Idara hiyo, Bi. Dionisia Mjema na Afisa Msimamizi Mkuu wa Fedha kutoka wizara hiyo, Bw. Salim Kimaro, wakati akitembela baadhi ya mabanda katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayoendelea katika viwanja vya Rock City Mall, jijini Mwanza.
Na. Farida Ramadhani, WFM- Mwanza
Wananchi wa Mkoa wa Mwanza wameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango kwa kuwapa elimu y...
Read More