Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri Mkuu Awasili kweye Msiba wa Dada wa Makamu wa Rais
Aug 30, 2023
Waziri Mkuu Awasili kweye Msiba wa Dada wa Makamu wa Rais
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akiweka saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha dada wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango Marehemu, Bi. Maria Isdor Nzabhayanga mara baada ya kuwasili msibani katika Kijiji cha Kipalapala mkoani Tabora leo tarehe 30 Agosti, 2023.
Na Ofisi ya Waziri Mkuu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Dkt. Selemani Jafo akiweka saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha dada wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango Marehemu, Bi. Maria Isdor Nzabhayanga mara baada ya kuwasili msibani katika Kijiji cha Kipalapala mkoani Tabora leo tarehe 30 Agosti, 2023
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dkt. Switbert Mkama akiweka saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha dada wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango Marehemu, Bi. Maria Isdor Nzabhayanga mara baada ya kuwasili msibani katika Kijiji cha Kipalapala mkoani Tabora leo tarehe 30 Agosti, 2023.

 

 

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akimfariji Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango kufuatia kifo cha dada yake Marehemu, Bi. Maria Isdor Nzabhayanga mara baada ya kuwasili msibani katika Kijiji cha Kipalapala mkoani Tabora leo tarehe 30 Agosti, 2023.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi