Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Tanzania na Afrika Kusini Zasaini Mkataba wa Program ya Urithi wa Ukombizi wa Bara la Afrika
Sep 20, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_14507" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dkt. Harrison Mwakyembe(Kulia) akisainishana Mkataba wa Program ya Urithi wa Ukombizi wa Bara la Afrika na Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Afrika Kusini Mhe. Nathi Mthethwa(Kushoto) Jana tarehe 19 Sept 2017 mjini Dodoma.

[/caption] [caption id="attachment_14509" align="aligncenter" width="923"] Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Dkt.Harrison Mwakyembe(Kulia) akibadilishana Mkataba wa Program ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika na Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Afrika Kusini Mhe. Nathi Mthethwa(Kushoto) Mara baada ya kusaini Mkataba huo mjini Dodoma jana. Wanyuma ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akishuhudia tukio hilo.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi