Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Mhe. Rais Magufuli Amjulia Hali Mhe. Charles Kitwanga Aliyelazwa Hospitali Muhimbili Jijini Dar es salaam
Feb 02, 2019
Na Msemaji Mkuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akimjulia hali  Mbunge wa Jimbo la Misungwi  Mhe. Charles Kitwanga ambaye amelazwa katika wodi ya Mwaisela katika Hospitali ya Taifa Muhimbili  Jijini Dar es Salaam  kwa  matibabu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akifanya sala maalum ya kumuombea Mbunge wa Jimbo la Misungwi  Mhe. Charles Kitwanga ambaye amelazwa katika wodi ya Mwaisela katika Hospitali ya Taifa Muhimbili  Jijini Dar es Salaam  kwa  matibabu.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi