Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Dkt. Respicious Boniface akizungumza wakati wa uzinduzi wa kongamano
la 6 la madaktari bingwa wa upasuaji wa Ubongo, Mgongo ,Mishipa ya fahamu
linalofanyika katika Taasisi ya MOI kuanzia leo Novemba 11-15, 2019.
Dk. Roger Hartl kutoka chuo kikuu cha Weill Cornell cha Marekani
akizungumza wakati wa kongamano la 6 la kimataifa la madaktari bingwa wa
upasuaji wa Ubongo, Mgongo na Mishipa ya fahamu.
Madaktari Bingwa kutoka katika mataifa mbalimbali wakifuatilia mada
katika kongamano la kimataifa la madaktari bingwa wa Ubongo,Mgongo na Mishipa
ya Fahamu.