Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Mama Janeth Magufuli Afanya Mazungumzo na Mke wa Rais wa Afrika Kusini Dkt. Tshepo Motsepe-Ramaphosa Ikulu Leo.
Aug 15, 2019
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_46095" align="aligncenter" width="750"] Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa katika mazungumzo na mke wa Rais wa Afrika Kusini Dkt. Tshepo Motsepe-Ramaphosa mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_46094" align="aligncenter" width="750"] Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akimkabidhi zawadi ya Picha mke wa Rais wa Afrika Kusini Dkt. Tshepo Motsepe-Ramaphosa mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi