![]() |
| Waziri Lukuvi na viongozi mbali mbali wakitazama nguma ya njuga ikichezwa na watoto wa shule ya msingi Idodi |
![]() |
| Waziri Lukuvi akimhoji mmoja katika ya wasanii wa ngoma ya njuga |
![]() |
| Makamu wa Rais wa Ismailia nchini Tanzania Kamal Khimji akisalimiana na viongozi mbali mbali baada ya kuwasilia katika sherehe ya uzinduzi wa visima |
![]() |
| Makamu wa Rais wa Ismailia nchini Tanzania Kamal Khimji akieleza jambo |
![]() |
| Waziri Lukuvi akisalimiana na makamu wa Rais wa Jumuiya ya Ismailia nchini Kamal Khimji |
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akisalimiana na makamu wa Rais wa Jumuiya ya Ismailia nchini Kamal Khimji baada ya kuwasili kijiji cha Mapogolo jimbo la Ismani |
![]() |
| makamu wa Rais wa Jumuiya ya Ismailia nchini Kamal Khimji akitoa hotuba yake |
![]() |
| Viongozi mbali mbali wa Ismailia na viongozi wa serikali wakisikiliza hotuba ya makamu wa Rais wa jumuiya ya Ismailia nchini |
![]() |
| Umati wa wananchi walioshiriki sherehe ya uzinduzi wa visima viwili vilivyotolewa msaada na Agakhan Iringa |
![]() |
| Viongozi wakifuatilia uzinduzi wa visima vilivyotolewa msaada na Agakhan |
![]() |
| Fundi wa visima hivyo akitoa maelekezo kwa viongozi mbali mbali |
![]() |
| Waziri Lukuvi (kushoto) na makamu wa Rais wa Jumuiya ya Ismailia nchini Kamal Khimji wakizindua moja kati ya kisima katika kijiji cha Mapogolo |
![]() |
| makamu wa Rais wa Jumuiya ya Ismailia nchini Kamal Khimji (kushoto) na waziri Lukuvi wakizindua kisima |
![]() |
| makamu wa Rais wa Jumuiya ya Ismailia nchini Kamal Khimji akitoa maelekezo kwa mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza baada ya kuzindua kisima |
![]() |
| Waziri Lukuvi akimpongeza na makamu wa Rais wa Jumuiya ya Ismailia nchini Kamal Khimji |
![]() |
| Bango la kisima cha Ikorongo likizinduliwa katika hafla hiyo |
![]() |
| makamu wa Rais wa Jumuiya ya Ismailia nchini Kamal Khimji akimtwisha ndoo ya maji mwanamke mkazi wa Mapogolo baada ya kuzindua visima viwili |
![]() |
| makamu wa Rais wa Jumuiya ya Ismailia nchini Kamal Khimji akivishwa mgolole nguo za heshima ya kichifu kabila la wahehe kama heshima kubwa ya kusaidia jamii |
![]() |
| makamu wa Rais wa Jumuiya ya Ismailia nchini Kamal Khimji akiwa katika vazi la kichifu na viongozi mbali mbali baada ya kuzawadiwa kama ahsante kwa Agakhan kusaidia jamii |
![]() |
| Viongozi wa chama tawala na serikali wakiwa katika picha ya pamoja na makamu wa Rais wa Jumuiya ya Ismailia nchini Kamal Khimji (picha na habari na MatukiodaimaBlog) |