Kamati ya Bunge ya Elimu, Michezo na Utamaduni chini ya Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Mussa Sima wakisikiliza taarifa iliyowasilishwa leo Agosti 21, 2023 jijini Dodoma na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Saidi Yakubu kwa niaba ya Waziri Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana
Read More