Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhiwa Medali ya Mother of the Nation Order na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Mhe. Sheikh Abdullah Bin Zayed Al Nahyan Ikulu jijini Dar es Salaam tarehe 05 Mei, 2025. Medali hiyo imetoka kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu, Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan.
Read More