Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Kampuni ya LG ya Korea, Bw. Joo Wan Cho kabla ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Novemba 3, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Kampuni ya LG ya Korea, Bw. Joo Wan Cho, ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Novemba 3, 2022.
Read More