Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dtk. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Hungary, Mhe. Katalin Novák (hayupo pichani) wakati akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Julai, 2023. Rais Novák yupo nchini Tanzania kwa ziara ya siku tatu.
Read More