Wafanyakazi wa Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar wakifuatilia ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane ya Kilimo Zanzibar 2023, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuyafungua maonesho hayo katika viwanja vya Kizimbani Dole Wilaya ya Magharibi “A” Unguja leo 1-8-2023.
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Ndogo
Kawaida
Kubwa