Na: Beatrice Lyimo- MAELEZO, DODOMA
Watanzania waaswa kuwa wabunifu katika kutengeneza mifumo itakayosaidia uboreshaji na utoaji huduma kwa jamii.
Hayo yamesemwa na Mganga Mkuu wa Wilaya (DMO) wa Halmashauri ya Mbulu Mkoa wa Manyara Dkt. Joseph Fwoma wakati wa Mafunzo ya Mfumo wa Kielekroniki (PlanRep) iliyorekebishwa wa kuandaa Mipango, Bajeti na Ripoti za Mamlaka ya Serikali za Mitaa yanayoratibiwa na Mradi wa Uimarishaji Sekta za Umma(PS3) kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) leo Mjini Dodoma.
Dkt.Fwom...
Read More