[caption id="attachment_9656" align="aligncenter" width="750"] Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (aliyesimama) akifungua Warsha ya Siku Mbili ya Wadau wa Vyama vya Ushirika inayoendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Wengine pichani ni Mkurugenzi wa Benki Kuu Tawi la Mtwara, Bw. Lucas Mwimo (kushoto) na Kaimu Katibu Tawala Msaidizi – Uchumi na Uzalishaji, Bw. Amani Rusake (kulia).[/caption]
Na Mwandishi wetu, Mtwara
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imewataka wakulima wa Korosho h...
Read More