[caption id="attachment_50625" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa[/caption]
MAMLAKA ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) imetoa cheti kwa Ofisi ya Binafsi ya Waziri Mkuu baada ya kufanyia ukaguzi katika maeneo yote ya ofisi hiyo na kuonesha kuwa yamekidhi viwango.
Cheti hicho kimetolewa jana jioni (Jumamosi, Februari 1, 2020) na Kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi Khadija Mwenda na kupokelewa na Katibu wa Waziri Mkuu Bw. Raymond Gowelle.
Akikabidhi cheti hicho, Bi Khadija aliipongeza mersin esc...
Read More