Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika hafla ya kupokea Taarifa ya Mpango wa awamu ya kwanza wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano Dhidi ya Uviko 19 Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Januari 2022.
Na Lilian Lundo - MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri na Makatibu Wakuu kusimamia fedha za UVIKO-19 ili zifanye matumizi vile inavyotakiwa.
Rais Samia amesema hayo Januari 4, 2022 Ikulu, Jijini Dar es Salaam, wakati akipokea taarifa...
Read More