Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri Ummy Awapokea Mashujaa 70 Waliopanda Mlima Kilimanjaro
Jul 02, 2018
Na Msemaji Mkuu

Sehemu ya Washiriki wa Changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kuchangisha fedha za mapambano dhidi ya UKIMWI kupitia Kampeni ya Kili Challenge.
Washiriki wengine katika kampeni hiyo wametumia Baiskeli kuzunguka Mlima Kilimanjaro.
Kiongozi wa wapandaji ,Bw Moses kutoka mgodo wa dhahabu wa Geita akipokelewa na Waziri wa Afya,Ummy Mwalimu mara baada ya kushuka kutoka katika kilele cha Uhuru.
 
Mgeni rasmi katika Hafla hiyo  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto , Ummy Mwalimu akikabidhi vyeti kwa mshiriki aliefanikiwa kufika katika Kilele cha Uhuru.
 
Mgeni rasmi katika hafla hiyo Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa zoezi la kupanda Mlima.
Mgeni rasmi katika hafla hiyo Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa zoezi la kuzunguka Mlima Kilimanjaro kwa kutumia baiskeli.
   

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi