Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri Dkt. Mwakyembe Azindua Jukwaa la Utengenezaji Maudhui na Usambazaji wa Kazi za Sanaa (BDF).
Oct 30, 2019
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_48428" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akifafanua jambo Waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu Jukwaa la utengenezaji maudhui mbalimbali ya filamu na Muziki na kusambaza (BDF) lililozinduliwa leo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, Wengine ni Mtangazaji kutoka Clouds Media Group (Clouds Plus), Gift Swai (kushoto) na Isaya Kandonga (Kulia).[/caption] [caption id="attachment_48430" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akifafanua jambo kwa Mtangazaji wa Clouds Media Group(Clouds Plus), Isaya Kandonga kuhusu Jukwaa la utengenezaji maudhui mbalimbali ya filamu na Muziki na kusambaza (BDF) lililozinduliwa leo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam[/caption] [caption id="attachment_48431" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu Jukwaa la utengenezaji maudhui mbalimbali ya filamu na Muziki na kusambaza (BDF) lililozinduliwa leo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_48433" align="aligncenter" width="750"] Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu, Dkt. Kiagho Kilonzo Akifafanua Jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu Jukwaa la utengenezaji maudhui mbalimbali ya filamu na Muziki na kusambaza (BDF) lililozinduliwa leo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe[/caption] [caption id="attachment_48434" align="aligncenter" width="750"] Msanii wa Mashairi ya Kughani, Mrisho Mpoto akieleza jambo Waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu Jukwaa la utengenezaji maudhui mbalimbali ya filamu na Muziki na kusambaza (BDF) lililozinduliwa leo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi