Waziri Mkuu Majaliwa Azungumza na Viongozi wa TAMISEMI
May 31, 2022
Na
Jacquiline Mrisho
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI (hawapo pichani) kwenye jengo la Mkapa jijini Dodoma, Mei 31, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwenye jengo la Mkapa jijini Dodoma, Mei 31, 2022. Kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais -,TAMISEMI, Innocent Bashungwa.