Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi Skuli ya Muungano, Zanzibar
Jan 10, 2024
Waziri Mkuu Aweka Jiwe la Msingi Skuli ya Muungano, Zanzibar
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Magharibi, Susan Kunambi, wakati alipowasili katika eneo la Kibanda Maiti, kuweka jiwe la Msingi Skuli ya Muungano, iliyopo katika Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar 10.1.2024.
Na Ofisi ya Waziri Mkuu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipewa maelezo na Mshauri Elekezi wa mradi huo, Mhandisi Salmin Hassan Ally kutoka Wakala wa Majengo Zanzibar (ZBA), kabla ya kuweka jiwe la Msingi Sikuli ya Muungano, iliyopo katika Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar 10.1.2024. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la Msingi Skuli ya Muungano, iliyopo katika Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar 10.1.2024.

 

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi