Tuvuti Kuu
Mrejesho
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO
Waziri Mkuu Awasili Uganda kwenye Mkutano wa NAM
Jan 18, 2024
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 18, 2024 akiwasili nchini Uganda ambapo atamuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi na Serikali Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM) ulioanza tarehe 15 - 20 Januari, 2024 na Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kundi la G77+China utakaofanyika tarehe 21-22 Januari, 2024, Kampala - Uganda.
Na Ofisi ya Waziri Mkuu
Habari Mpya
Majaliwa: Watendaji wa Serikali Ondoeni Ukiritimba Utoaji Habari
May 03, 2024
Tumieni Misingi ya Taaluma ya Uandishi, Uhuru Una Mipaka - Dkt. Tulia
May 02, 2024
Ma-RC Tengeni Maeneo ya Mazoezi – Majaliwa
May 02, 2024
Serikali Yatoa Neno Utoaji wa Mikopo ya Kidijitali na Mikopo Yenye Riba Kubwa
May 02, 2024
Matukio katika Picha: Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya Dunia...
May 02, 2024
Makamu wa Rais Aongoza Maadhimisho Mei Mosi Arusha
May 01, 2024
Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Marekebisho ya Maandishi
Ndogo
Kawaida
Kubwa