Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri Mkuu Awasili Uganda kwenye Mkutano wa NAM
Jan 18, 2024
Waziri Mkuu Awasili Uganda kwenye Mkutano wa NAM
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 18, 2024 akiwasili nchini Uganda ambapo atamuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi na Serikali Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM) ulioanza tarehe 15 - 20 Januari, 2024 na Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kundi la G77+China utakaofanyika tarehe 21-22 Januari, 2024, Kampala - Uganda.
Na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi