Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri Mkuu Afungua Kongamano la Mwaka Kuhusu Sera ya Kilimo
Apr 17, 2024
Waziri Mkuu Afungua Kongamano la Mwaka Kuhusu Sera ya Kilimo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Kongamano la Kumi la Mwaka kuhusu Sera ya Kilimo (AAPC) kwenye ukumbi wa Jenerali Venance Mabeyo jijini Dodoma, Aprili 17, 2024.
Na Ofisi ya Waziri Mkuu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule alipowasili kwenye ukumbi wa  Jenerali Venance Mabeyo jijini Dodoma kufungua Kongamano la Kumi la Mwaka kuhusu Sera ya Kilimo (AAPC) , Aprili 17, 2024. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozwa na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuingia kwenye ukumbi wa Jenerali Venance Mabeyo jijini Dodoma kufungua Kongamano la Kumi la Mwaka kuhusu Sera ya Kilimo (AAPC), Aprili 17, 2024.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi