[caption id="attachment_34214" align="aligncenter" width="750"] Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dk. Charles Kimei (kulia) akibadilishana mawazo na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya (kushoto) kwenye Ofisi za Tume ya Madini zilizopo jijini Dodoma.[/caption]
[caption id="attachment_34215" align="aligncenter" width="750"]
Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dk. Charles Kimei (kulia) akifafanua jambo kwenye kikao kilichoshirikisha ujumbe wake na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya[/caption]
[caption id="attachment_34216" align="aligncenter" width="750"]
Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya akifafanua jambo[/caption]