Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Taarifa kwa Umma
Jun 11, 2017
Na Msemaji Mkuu

 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU

Simu: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tz Tovuti : www.ikulu.go.tz

Faksi: 255-22-2113425

 
OFISI YA RAIS,       IKULU,  1 BARABARA YA BARACK OBAMA,   11400 DAR ES SALAAM. Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Ikulu, Dar es Salaam.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Bw. Felix Ngamlagosi.

Bw. Felix Ngamlagosi amesimamishwa kazi kuanzia leo tarehe 11 Juni, 2017.

Gerson Msigwa

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU

Dar es Salaam

11 Juni, 2017

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi