Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Spika Dkt. Tulia Ackson Aongoza Kikao cha Maspika wa CPA Nchini Cameroon
Jul 19, 2023
Spika Dkt. Tulia Ackson Aongoza Kikao cha Maspika wa CPA Nchini Cameroon
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akiongoza kikao wakati wa Mkutano wa 18 wa Maspika na Viongozi wa Bunge wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CSPOC) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Yaounde Jijini Yaounde nchini Cameroon. Kikao hicho kinajadili athari za mabadiliko ya tabianchi duniani, kimefanyika leo tarehe 19 Julai, 2023. Katika mkutano huo, Mhe. Dkt. Tulia ameambatana na Mbunge wa Singida Magharibi, Mhe. Elibariki Kingu pamoja na Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi.
Na Michael Msombe

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akishiriki katika Mkutano wa 18 wa Maspika na Viongozi wa Bunge wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CSPOC) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Yaounde Jijini Yaounde nchini Cameroon.

Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa 18 wa Maspika na Viongozi wa Bunge wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CSPOC) uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Yaounde Jijini Yaounde nchini Cameroon.

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi