Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi Akabidhi Boti Nane na Mashine za Boti 16 kwa Wavuvi wa Pemba
Apr 12, 2022
Na
Jacquiline Mrisho
Boti nne na mashine zake zilizokabidhiwa kwa Wananchi wa Makangale Boti 2 na Kengeja Boti 2, kwa ajili ya Uvuvi na mashine za boti 16 zilizotolewa kwa Vikundi vya Uvuvi Kisiwani Pemba,wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Kijiji cha Shumba Mjini Wilaya ya Micheweni Pemba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Boti na Mashine na Vifaa vya Uvuvi Kiongozi wa Kikundi cha Uvuvi cha Kengeja, Bw. Ali Baroo, wakati wa kukabidhi boti nne na mashine za boti 16 kwa Vikundi vya Uvuvi Pemba , hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Bandari ya Shumba Mjini Wilaya ya Michewene Pemba