Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais wa Zanzibar Dk.Shein Azungumza na Mwakilishi wa Ras Al Khaimah.
Jan 13, 2020
Na Msemaji Mkuu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwakilishi wa Mtawala wa Ras  Al-Khaimah, Bw.Mohamed Ali Musabeh Al Nuaimi, alipofika Ikulu ndogo Migombani Jijini Zanzibar kwa mazungumzo, (kulia) Balozi wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu (UAE) Nchini Tanzania.Mhe.Khalifa Abdulrahman Almarzooqi na Mkurugenzi Mtendaji wa RAK Gas Nishant Dighe..(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu (UAE) Nchini Tanzania.Mhe. Khalifa Abdulrahman Almarzooqi na ( kulia) Mkurugenzi Mtendaji wa RAK Gas Nishant Dighe.walipofika Ikulu ndogo Migombani Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, kaçak bahis bedava bonus hoşgeldin bonusu veren bahis siteleri bedava bonus veren bahis siteleri hoşgeldin bonusu deneme bonusu deneme bonusu adana eskort escort mersin erotik hikayeleri erotik hikayeleri porno hikayeleri porno hikayeleri sex hikayeleri sex hikayeleri sohbet hattı akizungumza na Mwakilishi wa Mtawala wa Ras Al Khaimah. Bw,Mohamed Ali Musabeh Al Nuaimi, alipofika Ikulu Ndogo Migombani na ujumbe wake kwa mazungumzo, akiwa zanzibar akihudhuria Maadhimisho ya sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar,(kulia) Balozi wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu (UAE) Nchini Tanzania.Mhe.Khalifa Abdulrahaman Al Marzooqi na Mkurugenzi Mtendaji wa RAK Gas.Bw.Nishant Dighe.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mwakilishi wa Mtawala wa Ras Khaimahn Bwana Mohamed Ali Musabeh Al Nuaimi, alipofika Ikulu Ndogo Migombani Jijini Zanzibar , kwa mazungumzo, baada ya kuhudhuria  sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, zilifanyika Uwanja Amaan .(Picha na IKULU)

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi