Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Samia Afungua Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika, Jijini Arusha
Jul 17, 2023
Rais Samia Afungua Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika, Jijini Arusha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi kabla ya kufungua Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.
Na Mwandishi Wetu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kuwasili katika Hoteli ya Gran Meliá kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.

Viongozi mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wakiwa kwenye ukumbi wa Hoteli ya Gran Meliá kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi Wakuu wastaafu kutoka Afrika mara baada ya kufungua Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika katika hoteli ya Gran Meliá Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi