Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Dkt. Mwinyi Azungumza na Ujumbe wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki
Feb 28, 2024
Rais Dkt. Mwinyi Azungumza na Ujumbe wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na Ujumbe wa Uongozi wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki, ukiongozwa na Makamu Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM), Askofu Dkt. Philemon Langas Mollel (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar leo tarehe 28-2-2024
Na Ikulu - Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Uongozi wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki, ukiongozwa na Makamu Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM), Askofu Dkt. Philemon Langas Mollel (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar leo tarehe 28-2-2024.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiagana na Ujumbe wa Uongozi wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki, ukiongozwa na Makamu Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM), Askofu Dkt. Philemon Langas Mollel (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar leo tarehe 28-2-2024

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi