Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Matukio katika Picha: Ziara ya Rais wa Zamani wa Malawi Mhe. Lazarus Chakwera Nchini Tanzania
Apr 10, 2026
Matukio katika Picha: Ziara ya Rais wa Zamani wa Malawi Mhe. Lazarus Chakwera Nchini Tanzania
Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Jaji Mstasfu Francis Mutungi amekuta na kufanya mazungumzo na Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola. Kikao hicho ni sehemu ya ziara ya Mhe. Chakwera nchini ambapo anakutana na makundi mbalimbali ya wanasiasa, taasisi na viongozi wa Serikali.
Na Administrator

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi