Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Matukio katika Picha: Waziri Mkuu Bungeni
Nov 02, 0223
Matukio katika Picha: Waziri Mkuu Bungeni
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma taarifa kuhusu kuidhinishwa kwa Sera ya Elimu na Mafunzo 2014, Toleo la2023 na Mitaala ya Elimu Ngazi ya Elimu ya Awali, Msingi, Sekondai na Elimu ya Ualimu wakati wa kipindi cha maswalı ya papo kwa papo, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2023.
Na Ofisi ya Waziri Mkuu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Urambo, Margaret Sitta, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2023.

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Paul Makonda, ofisini kwa Waziri Mkuu, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2023.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Paul Makonda kabla ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2023.

 

 

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi