Tuvuti Kuu
Mrejesho
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO
Matukio katika Picha: Uzinduzi wa Mbio za ‘Waandishi wa Habari Fun Run’ ikiwa ni Ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya Dunia 2024
May 01, 2024
Wadau wa tasnia ya habari nchini wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri leo Mei 1, 2024, wameshiriki kukimbia katika mbio za ‘Waandishi wa Habari Fun Run’ mwendo wa kilometa 10 kwa lengo la kuimarisha afya. Mbio hizo ni ufunguzi wa maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya Dunia kwa mwaka 2024 yanayofanyika Mei 1-3 Jijini Dodoma katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete ambapo Kauli Mbiu ya ni “Uandishi wa Habari na Changamoto za Mabadiliko ya Tabianchi”.
Na Mwandishi Wetu
Habari Mpya
Majaliwa: Watendaji wa Serikali Ondoeni Ukiritimba Utoaji Habari
May 03, 2024
Tumieni Misingi ya Taaluma ya Uandishi, Uhuru Una Mipaka - Dkt. Tulia
May 02, 2024
Ma-RC Tengeni Maeneo ya Mazoezi – Majaliwa
May 02, 2024
Serikali Yatoa Neno Utoaji wa Mikopo ya Kidijitali na Mikopo Yenye Riba Kubwa
May 02, 2024
Matukio katika Picha: Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ya Dunia...
May 02, 2024
Makamu wa Rais Aongoza Maadhimisho Mei Mosi Arusha
May 01, 2024
Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Marekebisho ya Maandishi
Ndogo
Kawaida
Kubwa