Tuvuti Kuu
Mrejesho
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO
Matukio katika Picha: Msemaji Mkuu wa Serikali Azindua Studio za BBC kwa Ofisi za Tanzania
Mar 08, 2024
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Mobhare Matinyi, leo Machi 8, 2024 amemuwakilisha Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye katika uzinduzi wa studio za kidijitali za Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kwa ofisi za Tanzania uliofanyika katika ofisi zilizopo Mikocheni jijini Dar es salaam.
Na Paschal Dotto-Maelezo
Habari Mpya
Makamu wa Rais Ashiriki Maombi na Dua ya Kuliombea Taifa
Apr 22, 2024
SMZ Yataja Deni la Vijana wa Tanzania
Apr 22, 2024
Waziri Nape Asisitiza Azma ya Tanzania Kujidhatiti katika Zama za Kidijitali
Apr 22, 2024
Waziri Mkuu Aonya Kuhusu Rushwa Kitega Uchumi cha Stendi ya Kange
Apr 22, 2024
Makamu wa Rais Awasili Kuongoza Watanzania Maombi Kitaifa
Apr 22, 2024
Waziri Mkuu Awasindikiza Viongozi wa Dini Wanaosafiri kwa Treni ya SGR Kutoka Da...
Apr 21, 2024
Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Marekebisho ya Maandishi
Ndogo
Kawaida
Kubwa