Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Matukio kaika Picha za Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama Maafisa Habari wa Serikali (TAGCO)
Feb 28, 2024
Matukio kaika Picha za Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama Maafisa Habari wa Serikali (TAGCO)
Matukio mbalimbali katika picha wakati Msemaji Mkuu Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari - Maelezo, Bw. Mobhare Matinyi (kushoto) akiwasilisha mada wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama Maafisa Habari wa Serikali (TAGCO) leo Februari 28, 2024 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) jijini Arusha.
Na Administrator

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi