Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Marekani Yaipatia Tanzania Dola Mil. 225 za Maendeleo
Aug 11, 2017
Na Msemaji Mkuu

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Doto James (kushoto) akisaini mkataba wa Makubaliano (Strategic Assistance Agreement ) na Mkurugenzi wa Shirika la Misaada la Marekani nchini USAID Andy Karas (katikati) kuhusu utoaji wa fedha  dola za kimarekani milioni 224 zaidi ya Shilingi bilioni 499 tukio lililofanyika katika Ofisi za Hazina jijini Dar es Salaam. Kulia ni Kaimu Balozi wa Marekani  nchini Tanzania Dkt. Inmi Patterson akishuhudia.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Doto James (kushoto) akibadilishana mkataba ya makubaliano (Strategic Assistance Agreement) na Mkurugenzi wa Shirika la Misaada la Marekani nchini USAID Andy Karas katika Ofisi za Hazina jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Doto James akimshukuru Mkurugenzi wa Shirika la Misaada la Marekani nchini USAID Andy Karas mara baada ya tukio hilo la mkataba wa makubaliano katika Ofisi za Hazina jijini Dar es Salaam. 

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi