Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Mamlaka za Maji Nchini Zatakiwa Kuanzisha Vituo Rasmi vya Kupokelea Kero na Malalamiko ya Wateja
Nov 11, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_22319" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele akiwasili katika viunga Mako Makuu ya Shirika la Maji Safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasco)kwa ajili ya hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Mamlaka hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo, Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi ya Dawasco Prof. Tolly Mbwete na Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasco Mhandisi Cyprian Luhemeja.[/caption] [caption id="attachment_22320" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Meja Jenerali Kitundu, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ally Hapi na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo.[/caption] [caption id="attachment_22321" align="aligncenter" width="750"] Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo akielezea jambo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele.[/caption] [caption id="attachment_22322" align="aligncenter" width="750"] Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo akifafanua jambo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele.[/caption] [caption id="attachment_22323" align="aligncenter" width="750"] Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo akielezea jambo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele.[/caption] [caption id="attachment_22324" align="aligncenter" width="750"] Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Maji Safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasco) Mhandisi Cyprian Luhemeja akiwasilisha taarifa fupi kuhusu Shirika hilo mbele ya Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele (hayupo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_22326" align="aligncenter" width="750"] Baadhi ya waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_22327" align="aligncenter" width="750"] Mwakilishi wa Wafanyakazi wa Dawasco Bw. Abdallah Jongo akisoma risala kwa niaba ya wafanyakazi wa Shirika hilo mbele ya mgeni rasmi ambaye ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele (mwenye tai) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_22328" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele (kulia) akimkabidhi Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Maji Safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasco) Mhandisi Cyprian Luhemeja zawadi ya saa yenye picha za wajumbe wa Bodi ya Dawasco iliyomaliza muda wake wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi mpya leo Jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_22329" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele (kushoto) akimkabidhi vitendea kazi Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Dawasco ambaye pia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani Bw. Zuberi Samataba wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi mpya leo Jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_22330" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo pamoja na Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Dawasco Prof. Toli Mbwete (kushoto) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi mpya leo Jijini Dar es Salaam.[/caption] [caption id="attachment_22331" align="aligncenter" width="750"] Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi mpya ya Tano ya Wakurugenzi wa Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (Dawasco) mara baada ya kumaliza hafla ya uzinduzi wa Bodi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
Picha na: Frank Shija - MAELEZO[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi